KIJANA HUYU ATOA KAULI NZITO,ASEMA AMEAMBUKIZA VIRUSI VYA UKIMWI WASICHANA WASIOPUNGUA 20

No comments

Katika  hali  ya  kushangaza   kijana   Hamis  Juma  ambaye  ni  mwanafunzi  wa  chuo  kimoja  hapa  Tanzania  ametoa  kauli  ya  kusitisha  kuwa  katika  maisha  yake  tayari  ameisha    ambukiza  wasichana      wasiyo   pungua  20 Virusi  vya  ukimwi,  Akiongea  kwa   kujiamini  bila  wasiwasi  wowote  na  mtandao  huu  amesema  alipata  virusi  vya  ukimwa  mwaka  2009    na  baada   ya  hapo  amekuwa  na mahusiano  na   wasichana  wengi   kwasababu  baadhi  wasichana   wamekuwa  wakimpenda  kutokana  na  uwezo   wake  wa  kifedha  kuwa  mzuri,
    mwaka  2011 alijiunga  na  chuo  kikuu    ambacho   kipo mkoani  Dar  es  salaam  kwa   ajiri  ya  kusomea  fani  sheria  anasema  baada  kujiunga    na  chuo     alikutana   na  majaribu  makubwa  kwasababu  wasichana  wengi  wamekuwa  wanapenda   kufanya   mahusiano   na  yeye  bila   ata  kuuliza  historia  ya    maisha  yake  ya  huko  nyuma   ,Kijana  huyo  akiendelea  amesema  imekuwa  ni  ngumu  sana    kwa  upande   kwa  kuwambia  ukweli  hao  wasichana   lakini  kwasasa  ameanza  kujutia  kwa  kitendo  alichofanya   cha  kuwambikiza  hao wasichana  virusi   vya  ukimwi bila ata  kumwabia .
   Tanzaniaclassic  ilipotaka  kujua  kama hao  wasichana  aliowambukiza  ukimwi  kama anawajua  kwa  majina?   kwa  kauli  yake   kijana  huyo   amesema  baadhi   ya   wasichana  anawajua   kwa  majina na  wengine    anawajua  kwa sura   kwasababu  idadi  ilikuwa  ni  kubwa  sana  kwasababu wengine  alikuwa  anakutana  nao   katika  kumbi  za  burudani  na wengine   walikuwa  ni wanachuo  wenzake, Akiendelea  kuongea  amesema  kwa   sasa ameacha  kabisa  kufanya  mahusiano  ya  kimapenzi   na  msichana  yeyote  kwasasababu  daktari  wake  amemshauri  hivyo,
      Sasa  hili  ni  fundisho    kwa  wasichana   wote  ambao  uwa  wanatanguliza  tamaa  bila  kuangalia  hasara  watakayo  ipata    kwasababu  hawa  wasichana   ambao  wameambukizwa  ukimwi   na  kijana  huyu   ni  kutokana  na   tamaa  zao   baada  ya kumuona  kijana huyu  yupo     vizuri kifedha  mwisho  wa  siku  wanaambulia  ukimwi  ,

Tutaendelea  kuwaletea   habari hii  kiundania


kijana  Hamis  juma   akiwa  nyumbani  kwake  hvi  karibuni

Hamis    Juma  akiwa  kwenye  pozi

No comments :

Post a Comment

Inabidi ujue kabisa kwamba ukiingia Mlimani City na gari lako utakutana na hii

No comments
M City 4Mlimani City ni Shopping Mall ambayo ni maarufu kuliko zote za Tanzania kwa sasa, ni sehemu ambayo ina mkusanyiko mkubwa wa maduka na migahawa mbalimbali ambayo kwa miaka ya karibuni imesaidia kuleta mapinduzi ya sehemu za kufanyia shopping Tanzania.
Na kwa miaka yote kumekua na utaratibu wa kawaida kwamba ukiingia na gari lako Mlimani City unapewa tu kadi ambayo unatakiwa kuiacha kwenye geiti wakati ukitoka na hautoulizwa kitu kingine hata ukilipaki gari lako kuanzia asubuhi mpaka jioni ila sasa hivi utaratibu umebadilika.
Mlimani City ParkingYeyote anaeingia na gari ni lazima alilipie Parking ambayo inalipwa kutokana na muda uliopaki, ukipaki ndani ya dakika 60 hautochajiwa chochote ila dakika 60 zikizidi mpaka dakika 120 utalipia shilingi 500.
Kwenye dakika 120 (saa mbili) mpaka dakika 180 (saa tatu) utalilipia gari lako shilingi elfu moja wakati kwa saa tatu mpaka nne utalipia shilingi elfu moja mia tano na ukizidisha na kufikia saa tano itaongezeka shilingi mia tano kwa saa moja.
M City 1 Wakati wa kutoka Mlimani City ni lazima ulipie parking kabla ya kutoka na gari lako, utakwenda kwenye vituo maalum na kuingiza kadi yako pamoja na kiwango unachodaiwa kama inavyoonekana hapa chini.
m city 2
m city 3

No comments :

Post a Comment

Inabidi ujue kabisa kwamba ukiingia Mlimani City na gari lako utakutana na hii

No comments
M City 4Mlimani City ni Shopping Mall ambayo ni maarufu kuliko zote za Tanzania kwa sasa, ni sehemu ambayo ina mkusanyiko mkubwa wa maduka na migahawa mbalimbali ambayo kwa miaka ya karibuni imesaidia kuleta mapinduzi ya sehemu za kufanyia shopping Tanzania.
Na kwa miaka yote kumekua na utaratibu wa kawaida kwamba ukiingia na gari lako Mlimani City unapewa tu kadi ambayo unatakiwa kuiacha kwenye geiti wakati ukitoka na hautoulizwa kitu kingine hata ukilipaki gari lako kuanzia asubuhi mpaka jioni ila sasa hivi utaratibu umebadilika.
Mlimani City ParkingYeyote anaeingia na gari ni lazima alilipie Parking ambayo inalipwa kutokana na muda uliopaki, ukipaki ndani ya dakika 60 hautochajiwa chochote ila dakika 60 zikizidi mpaka dakika 120 utalipia shilingi 500.
Kwenye dakika 120 (saa mbili) mpaka dakika 180 (saa tatu) utalilipia gari lako shilingi elfu moja wakati kwa saa tatu mpaka nne utalipia shilingi elfu moja mia tano na ukizidisha na kufikia saa tano itaongezeka shilingi mia tano kwa saa moja.
M City 1 Wakati wa kutoka Mlimani City ni lazima ulipie parking kabla ya kutoka na gari lako, utakwenda kwenye vituo maalum na kuingiza kadi yako pamoja na kiwango unachodaiwa kama inavyoonekana hapa chini.
m city 2
m city 3

No comments :

Post a Comment

Hawa ndio mastaa wengine wanaotarajia kupata mtoto…

No comments
Couple Holding HandsIdadi ya mastaa wanaoingia kwenye listi ya mastaa wenye watoto inazidi kuongezeka, kitu kinachovutia zaidi ni kwamba watoto wao pia huwa wanakuwa maarufu hata kabla ya umri wa kujitambua; kwa mfano ukitaja jina la Blue Ivy Carter wengi wetu tunajua ni mtoto wa mastaa gani.
Staa wa R&B aliyeweka rekodi ya kudumu kwenye muziki kwa muda mrefu bila kuanguka wala kubadili aina ya muziki anayoifanya, Justin Timberlake na mpenzi wake Jessica Biel wanatarajia kupata mtoto soon…
JT & Spo
Ndoa yao ina miaka miwili na stori kuhusu Jessica ni ujauzito alionao wa zaidi ya miezi 3.
Mastaa hawa hawajakaa kwenye ‘headlines’ nyingi huenda ‘wazee wa udaku’ wanahofu kutokana na kitendo walichokifanya mwezi uliopita kulishtaki jarida la Heat kwa kuandika stori iliyowachefua.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza

No comments :

Post a Comment

Alichokizungumza kapteni Komba kuhusu Mzee Warioba na Kinana…

No comments
image-06-11-14-04-17-10
Mbunge wa Mbinga Magharibi John Komba, leo Novemba 6 katika kikao cha Bunge amezungumzia mambo mawili ;-
1- Kuhusu kauli ya Mbunge Peter Msigwa juu ya Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana; “..kwa kuanza kwanza ni.. sikupenda sana kwa hotuba aliyoitoa mwenzetu Msigwa jana kuhusu katibu wetu mkuu Kinana wa CCM.. nataka nimuhakikishie Msigwa.. kati ya makatibu wakuu tuliowapata katika Chama cha Mapinduzi..waliokifanyia vizuri chama chetu cha mapinduzi… Kinana ni miongoni mwao na ndio tishio la upinzani kwa sasa hivi.. Kwa hiyo kumuingiza Kinana pale kumletea maneno ambayo hajayasema.. ni kiwewe tuu cha buree cha bure.. Kinana yupo pale kuwaondoeni nyie mnaosema mtachukua nchi…”—Komba
Komba2- Kuhusu alichofanyiwa Jaji Warioba; “.. Pili nitoe pole kwa mzee Warioba.. juzi yale yaliyompata pale siyo jambo jema.. na yeye anasema kwamba hayajawahi kuona tangu uhuru.. lakini angesikia ushauri wangu wakati ule wa Bunge la Katiba haya yasingetokea.. akae tuu pembeni .. aache mjadala wao uendelee kama kawaida na utaratibu uende kama kawaida yeye alimaliza kazi yake.. wengine wafanye kazi yao na katiba hii mwisho ipatikane nzuri.. ukiingilia ingilia hayo ndiyo yatakayokupata.. mzee pumzika tuu…”– Komba
Ukitaka kuisikiliza sauti ya Komba akizungumzia hayo leo Novemba 6 kwenye kikao cha Bunge, iko hapa bongyeza play

No comments :

Post a Comment

Kuhusiana na kuvuja kwa picha za utupu za huyu staa wa muziki Uganda, Serikali imeingilia kati

No comments
DesireWaziri wa Maadili wa Uganda Simon Lokodo ameagiza kukamatwa kwa msanii Franklin kutoka Nigeria ambaye anatuhumiwa kwa kusambaza picha za utupu alizopiga akiwa na mpenzi wake Desire Luzinda.
Serikali ya Uganda ilipitisha sheria ya ‘Anti-ponography’ ambapo kusambaa kwa picha hizo kunamtia hatiani jamaa huyo kwa kuvunja sheria hiyo,iwapo atakutwa na hatia adhabu yake ni faini ya milioni 50 za Uganda sawa na dola elfu 20 ambazo ni zaidi ya milioni 30 za Kitanzania au kifungo cha miaka 10.
Franklin anatafutwa kwa kuvujisha picha hizo ambapo inasemekana kuvunjika kwa uhusiano wao kumepelekea jamaa huyo kuvujisha picha hizo.
Franklin-and-Desire-during-their-hey-days


No comments :

Post a Comment