Inabidi ujue kabisa kwamba ukiingia Mlimani City na gari lako utakutana na hii

Na kwa miaka yote kumekua na utaratibu wa kawaida kwamba ukiingia na gari lako Mlimani City unapewa tu kadi ambayo unatakiwa kuiacha kwenye geiti wakati ukitoka na hautoulizwa kitu kingine hata ukilipaki gari lako kuanzia asubuhi mpaka jioni ila sasa hivi utaratibu umebadilika.

Kwenye dakika 120 (saa mbili) mpaka dakika 180 (saa tatu) utalilipia gari lako shilingi elfu moja wakati kwa saa tatu mpaka nne utalipia shilingi elfu moja mia tano na ukizidisha na kufikia saa tano itaongezeka shilingi mia tano kwa saa moja.



Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment