Alikiba amesafiri hadi jijini Cape Town, Afrika Kusini kwenda kushoot video mpya.

No comments



Inavyoonekana staa huyo amekwenda kushoot video ya wimbo wake ‘Mwana’ uliotoka miezi kadhaa iliyopita.



Kiba ameshare picha kadhaa kwenye Instagram akiwa location huku moja anaonekana akiwa na dancers wa kike.

No comments :

Post a Comment