Inabidi ujue kabisa kwamba ukiingia Mlimani City na gari lako utakutana na hii

M City 4Mlimani City ni Shopping Mall ambayo ni maarufu kuliko zote za Tanzania kwa sasa, ni sehemu ambayo ina mkusanyiko mkubwa wa maduka na migahawa mbalimbali ambayo kwa miaka ya karibuni imesaidia kuleta mapinduzi ya sehemu za kufanyia shopping Tanzania.
Na kwa miaka yote kumekua na utaratibu wa kawaida kwamba ukiingia na gari lako Mlimani City unapewa tu kadi ambayo unatakiwa kuiacha kwenye geiti wakati ukitoka na hautoulizwa kitu kingine hata ukilipaki gari lako kuanzia asubuhi mpaka jioni ila sasa hivi utaratibu umebadilika.
Mlimani City ParkingYeyote anaeingia na gari ni lazima alilipie Parking ambayo inalipwa kutokana na muda uliopaki, ukipaki ndani ya dakika 60 hautochajiwa chochote ila dakika 60 zikizidi mpaka dakika 120 utalipia shilingi 500.
Kwenye dakika 120 (saa mbili) mpaka dakika 180 (saa tatu) utalilipia gari lako shilingi elfu moja wakati kwa saa tatu mpaka nne utalipia shilingi elfu moja mia tano na ukizidisha na kufikia saa tano itaongezeka shilingi mia tano kwa saa moja.
M City 1 Wakati wa kutoka Mlimani City ni lazima ulipie parking kabla ya kutoka na gari lako, utakwenda kwenye vituo maalum na kuingiza kadi yako pamoja na kiwango unachodaiwa kama inavyoonekana hapa chini.
m city 2
m city 3

Inabidi ujue kabisa kwamba ukiingia Mlimani City na gari lako utakutana na hii

M City 4Mlimani City ni Shopping Mall ambayo ni maarufu kuliko zote za Tanzania kwa sasa, ni sehemu ambayo ina mkusanyiko mkubwa wa maduka na migahawa mbalimbali ambayo kwa miaka ya karibuni imesaidia kuleta mapinduzi ya sehemu za kufanyia shopping Tanzania.
Na kwa miaka yote kumekua na utaratibu wa kawaida kwamba ukiingia na gari lako Mlimani City unapewa tu kadi ambayo unatakiwa kuiacha kwenye geiti wakati ukitoka na hautoulizwa kitu kingine hata ukilipaki gari lako kuanzia asubuhi mpaka jioni ila sasa hivi utaratibu umebadilika.
Mlimani City ParkingYeyote anaeingia na gari ni lazima alilipie Parking ambayo inalipwa kutokana na muda uliopaki, ukipaki ndani ya dakika 60 hautochajiwa chochote ila dakika 60 zikizidi mpaka dakika 120 utalipia shilingi 500.
Kwenye dakika 120 (saa mbili) mpaka dakika 180 (saa tatu) utalilipia gari lako shilingi elfu moja wakati kwa saa tatu mpaka nne utalipia shilingi elfu moja mia tano na ukizidisha na kufikia saa tano itaongezeka shilingi mia tano kwa saa moja.
M City 1 Wakati wa kutoka Mlimani City ni lazima ulipie parking kabla ya kutoka na gari lako, utakwenda kwenye vituo maalum na kuingiza kadi yako pamoja na kiwango unachodaiwa kama inavyoonekana hapa chini.
m city 2
m city 3

Hawa ndio mastaa wengine wanaotarajia kupata mtoto…

Couple Holding HandsIdadi ya mastaa wanaoingia kwenye listi ya mastaa wenye watoto inazidi kuongezeka, kitu kinachovutia zaidi ni kwamba watoto wao pia huwa wanakuwa maarufu hata kabla ya umri wa kujitambua; kwa mfano ukitaja jina la Blue Ivy Carter wengi wetu tunajua ni mtoto wa mastaa gani.
Staa wa R&B aliyeweka rekodi ya kudumu kwenye muziki kwa muda mrefu bila kuanguka wala kubadili aina ya muziki anayoifanya, Justin Timberlake na mpenzi wake Jessica Biel wanatarajia kupata mtoto soon…
JT & Spo
Ndoa yao ina miaka miwili na stori kuhusu Jessica ni ujauzito alionao wa zaidi ya miezi 3.
Mastaa hawa hawajakaa kwenye ‘headlines’ nyingi huenda ‘wazee wa udaku’ wanahofu kutokana na kitendo walichokifanya mwezi uliopita kulishtaki jarida la Heat kwa kuandika stori iliyowachefua.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza

Alichokizungumza kapteni Komba kuhusu Mzee Warioba na Kinana…

image-06-11-14-04-17-10
Mbunge wa Mbinga Magharibi John Komba, leo Novemba 6 katika kikao cha Bunge amezungumzia mambo mawili ;-
1- Kuhusu kauli ya Mbunge Peter Msigwa juu ya Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana; “..kwa kuanza kwanza ni.. sikupenda sana kwa hotuba aliyoitoa mwenzetu Msigwa jana kuhusu katibu wetu mkuu Kinana wa CCM.. nataka nimuhakikishie Msigwa.. kati ya makatibu wakuu tuliowapata katika Chama cha Mapinduzi..waliokifanyia vizuri chama chetu cha mapinduzi… Kinana ni miongoni mwao na ndio tishio la upinzani kwa sasa hivi.. Kwa hiyo kumuingiza Kinana pale kumletea maneno ambayo hajayasema.. ni kiwewe tuu cha buree cha bure.. Kinana yupo pale kuwaondoeni nyie mnaosema mtachukua nchi…”—Komba
Komba2- Kuhusu alichofanyiwa Jaji Warioba; “.. Pili nitoe pole kwa mzee Warioba.. juzi yale yaliyompata pale siyo jambo jema.. na yeye anasema kwamba hayajawahi kuona tangu uhuru.. lakini angesikia ushauri wangu wakati ule wa Bunge la Katiba haya yasingetokea.. akae tuu pembeni .. aache mjadala wao uendelee kama kawaida na utaratibu uende kama kawaida yeye alimaliza kazi yake.. wengine wafanye kazi yao na katiba hii mwisho ipatikane nzuri.. ukiingilia ingilia hayo ndiyo yatakayokupata.. mzee pumzika tuu…”– Komba
Ukitaka kuisikiliza sauti ya Komba akizungumzia hayo leo Novemba 6 kwenye kikao cha Bunge, iko hapa bongyeza play

Kuhusiana na kuvuja kwa picha za utupu za huyu staa wa muziki Uganda, Serikali imeingilia kati

DesireWaziri wa Maadili wa Uganda Simon Lokodo ameagiza kukamatwa kwa msanii Franklin kutoka Nigeria ambaye anatuhumiwa kwa kusambaza picha za utupu alizopiga akiwa na mpenzi wake Desire Luzinda.
Serikali ya Uganda ilipitisha sheria ya ‘Anti-ponography’ ambapo kusambaa kwa picha hizo kunamtia hatiani jamaa huyo kwa kuvunja sheria hiyo,iwapo atakutwa na hatia adhabu yake ni faini ya milioni 50 za Uganda sawa na dola elfu 20 ambazo ni zaidi ya milioni 30 za Kitanzania au kifungo cha miaka 10.
Franklin anatafutwa kwa kuvujisha picha hizo ambapo inasemekana kuvunjika kwa uhusiano wao kumepelekea jamaa huyo kuvujisha picha hizo.
Franklin-and-Desire-during-their-hey-days


Haya ndo yaliyojiri kwenye show ya Kili music tour Mwanza jana..

DSC_0371Kili tour bado inaendelea na list ndefu ya wasanii wamewafurahisha wakazi wa Mwanza 88.1 kwa show kali jana May 31 2014 ikiwa ni Tour ambayo inawajumuisha washindi na washiriki mbalimbali wa tuzo za KTMA 2014.
DSC_0157
DSC_0044
Watangazaji Zembwela na Dullah wa East Africa radio wakifanya yao.
DSC_0059
DSC_0072
DSC_0075
DSC_0083
DSC_0097
Rich Mavoco
DSC_0138
DSC_0157
Ommy Dimpoz na V Money
DSC_0172
Christian Bella
DSC_0180
DSC_0183
DSC_0205
DSC_0207
DSC_0348
DSC_0370
DSC_0371
IMG_5237
IMG_5251
IMG_5287
IMG_5290
IMG_5361
Meneja George Kavishe na team yake
IMG_5388

KWA WALE WAPENZI WA VICHEKESHO, SIKILIZA HIKI HAPA CHA MKUDE SIMBA KIPYA....!!!