Inabidi ujue kabisa kwamba ukiingia Mlimani City na gari lako utakutana na hii
Unknown
Na kwa miaka yote kumekua na utaratibu wa kawaida kwamba ukiingia na gari lako Mlimani City unapewa tu kadi ambayo unatakiwa kuiacha kwenye geiti wakati ukitoka na hautoulizwa kitu kingine hata ukilipaki gari lako kuanzia asubuhi mpaka jioni ila sasa hivi utaratibu umebadilika.
Kwenye dakika 120 (saa mbili) mpaka dakika 180 (saa tatu) utalilipia gari lako shilingi elfu moja wakati kwa saa tatu mpaka nne utalipia shilingi elfu moja mia tano na ukizidisha na kufikia saa tano itaongezeka shilingi mia tano kwa saa moja.
Thursday, November 06, 2014
Inabidi ujue kabisa kwamba ukiingia Mlimani City na gari lako utakutana na hii
Unknown
Na kwa miaka yote kumekua na utaratibu wa kawaida kwamba ukiingia na gari lako Mlimani City unapewa tu kadi ambayo unatakiwa kuiacha kwenye geiti wakati ukitoka na hautoulizwa kitu kingine hata ukilipaki gari lako kuanzia asubuhi mpaka jioni ila sasa hivi utaratibu umebadilika.
Kwenye dakika 120 (saa mbili) mpaka dakika 180 (saa tatu) utalilipia gari lako shilingi elfu moja wakati kwa saa tatu mpaka nne utalipia shilingi elfu moja mia tano na ukizidisha na kufikia saa tano itaongezeka shilingi mia tano kwa saa moja.
Thursday, November 06, 2014
Hawa ndio mastaa wengine wanaotarajia kupata mtoto…
Unknown
Staa wa R&B aliyeweka rekodi ya kudumu kwenye muziki kwa muda mrefu bila kuanguka wala kubadili aina ya muziki anayoifanya, Justin Timberlake na mpenzi wake Jessica Biel wanatarajia kupata mtoto soon…
Ndoa yao ina miaka miwili na stori kuhusu Jessica ni ujauzito alionao wa zaidi ya miezi 3.
Mastaa hawa hawajakaa kwenye ‘headlines’ nyingi huenda ‘wazee wa udaku’ wanahofu kutokana na kitendo walichokifanya mwezi uliopita kulishtaki jarida la Heat kwa kuandika stori iliyowachefua.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza
Thursday, November 06, 2014
Alichokizungumza kapteni Komba kuhusu Mzee Warioba na Kinana…
Unknown
Mbunge wa Mbinga Magharibi John Komba, leo Novemba 6 katika kikao cha Bunge amezungumzia mambo mawili ;-
1- Kuhusu kauli ya Mbunge Peter Msigwa juu ya Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana; “..kwa kuanza kwanza ni.. sikupenda sana kwa hotuba aliyoitoa mwenzetu Msigwa jana kuhusu katibu wetu mkuu Kinana wa CCM.. nataka nimuhakikishie Msigwa.. kati ya makatibu wakuu tuliowapata katika Chama cha Mapinduzi..waliokifanyia vizuri chama chetu cha mapinduzi… Kinana ni miongoni mwao na ndio tishio la upinzani kwa sasa hivi.. Kwa hiyo kumuingiza Kinana pale kumletea maneno ambayo hajayasema.. ni kiwewe tuu cha buree cha bure.. Kinana yupo pale kuwaondoeni nyie mnaosema mtachukua nchi…”—Komba
Thursday, November 06, 2014
Kuhusiana na kuvuja kwa picha za utupu za huyu staa wa muziki Uganda, Serikali imeingilia kati
Unknown
Serikali ya Uganda ilipitisha sheria ya ‘Anti-ponography’ ambapo kusambaa kwa picha hizo kunamtia hatiani jamaa huyo kwa kuvunja sheria hiyo,iwapo atakutwa na hatia adhabu yake ni faini ya milioni 50 za Uganda sawa na dola elfu 20 ambazo ni zaidi ya milioni 30 za Kitanzania au kifungo cha miaka 10.
Franklin anatafutwa kwa kuvujisha picha hizo ambapo inasemekana kuvunjika kwa uhusiano wao kumepelekea jamaa huyo kuvujisha picha hizo.
Thursday, November 06, 2014
Haya ndo yaliyojiri kwenye show ya Kili music tour Mwanza jana..
Unknown
Sunday, June 01, 2014
KWA WALE WAPENZI WA VICHEKESHO, SIKILIZA HIKI HAPA CHA MKUDE SIMBA KIPYA....!!!
Unknown
Sunday, June 01, 2014
Subscribe to:
Comments
(
Atom
)